JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

PLASCO yaipa Muhimbili tanki la maji ujazo lita laki mbili

Kampuni ya PLASCO hivi karibuni itaikabidhi Hospitali ya Taifa Muhimbili msaada wa Tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita laki mbili ambalo thamani yake ni sh. mil.150 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kampuni hiyo kurejesha kwa jamii. Meneja…

Elimu afya ya uzazi kwa vijana itakavyomaliza mimba zisizotarajiwa

Na Stella Aron JamhuriMedia Suala la afya ya uzazi lina mchango mkubwa sana katika kutimiza ajenda ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ifikapo mwaka 2030. Suala hii linaenda sanyari na idadi ya watu, rasilimali zinazohitajika na hata mustakabali wa…

St Anne Marie kuwasomesha bure watakaofiwa na wazazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam imepongezwa kwa kuendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya shule na kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki…

DP World yamuibua askofu Ringia

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma. Kutokana na kuwepo maneno mengi ya kubeza Mkataba wa uwekezaji wa Bandari,hatimaye Askofu Wilbard Ringia wa Kanisa la Mizaituni miwili,Pentecoste Assemblies (MMPA) amejitokeza na kuwataka Watanzania kuwa watulivu na wenye kuheshimu mamlaka ili mambo mengine yaendelee….