JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Songwe yakumbwa na uhaba wa petroli na dizeli

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Songwe Mkoa wa Songwe unakabiliwa na uhaba wa nishati ya mafuta ya petrol na dizeli na kuzua hofu kwa watumiaji wa vyombo vya moto wakihisi huenda yakaadimika na kusababisha usumbufu. Uhaba huo wa mafuta umeanza kujitokeza siku tano…

TFRA kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka tani 586,604 hadi 800,000

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA),Dk.Stephan Ngailo amesema wanatarajia kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka tani 586,604 mwaka 2019/2020 hadi tani 800,000 Mwaka 2020/2025 ili kuongeza uzalishaji wenye tija. Aidha mpaka kufikia…

Biashara ya mkaa inavyochagiza uharibifu wa mazingira

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Ukataji wa miti ni changamoto katika jitihada za kulinda misitu hasa nchi zinazoendelea kwa sababu ya watu kukata miti kwa ajili ya mkaa, kuni pamoja na mbao . Athari za ukataji miti ni nyingi na katika hatua…

PPRA yajipanga kudhibiti urasimu kwenye ununuzi wa Umma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Serikali imepanga kufanya maboresho ya sheria ya ununuzi wa umma kukidhi mahitaji ya soko, kuondoa urasimu na kuongeza uwajibikaji kwa wanaojihusisha katika ununuzi wa umma. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Ununuzi wa Umma…

Ridhiwani: Wanufaika wa TASAF watolewe kupitia mkutano wa vijiji

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo NAIBU Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewaagiza wataalam wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF ),kuhakikisha wanafanya uhakiki kwa kufuatilia wanufaika waliotolewa kimakosa kwenye mpango huo ili kupunguza…