JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Biteko:Wazalishaji chumvi waongeze uzalishaji kukidhi soko la ndani, nje’

WAZIRI wa Madini ,Dkt Dotto Biteko ametoa rai kwa wazalishaji wa chumvi nchini kuongeza uzalishaji kutoka tani 273,000 hadi tani 303,000 kwa mwaka ili kukidhi soko la ndani na nje. Rai hiyo aliitoa Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani alipofanya ziara ya…

Miamala ya fedha yaongezeka asilimia 24 mwaka mmoja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabir Bakari, amesema kati ya Julai mwaka jana hadi Juni mwaka huu imesajili laini za simu milioni 7.3. Amesema hayo alipozungumza na vyombo vya habari Dodoma…

Nderiananga awataka Watanzania kuunga mkono juhudi za Rais Samia

Na Mathias Canal, Moshi-Kilimanjaro Mbunge wa Viti maalumu MlUmmy Nderiananga ambaye pia ni Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) akiwa katika ziara mkoani Kilimanjaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan…

Biteko: Bagamoyo inazalisha madini ya chumvi tani 90,000 kwa mwaka

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani, inazalisha chumvi tani 90,000 hadi tani Laki moja kwa mwaka. Kutokana na kiwango hicho cha uzalishaji kwenye sekta ndogo ya madini ya chumvi wilayani humo, Serikali imekusudia kuweka mazingira wezeshi ambapo tayari imeshapata…

Mwanafunzi,mpenzi wake mbaroni kwa kuishi kama mke na mume

Polisi mkoani Songwe linamshikilia Lukia Magwaza (21), mkazi wa kijiji cha Shasya Kata ya Halunga, wilayani Mbozi kwa tuhuma za kumuoa mwanafunzi (jina limehifadhiwa) aliyetakiwa kujiunga na kidato cha tano. Mwanafunzi huyo ambaye naye anashikiliwa na jeshi hilo anadaiwa kuwa…

Rais Samia ampokea Rais wa Hungary, Ikulu Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempokea Rais wa Hungary, Katalin Novak katika Ikulu ya Magogoni,Dar es Salaam leo Julai 18, 2023. Rais huyo amewasili jana usiku Julai 17, 2023 na kupokelewa na Waziri wa Mambo…