JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Jela miaka 20 kwa kuondoa miundombinu ya gesi asilia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja washitakiwa wawili kwa kosa la kuondoa miundombinu ya gesi asilia yenye thamani ya Sh milioni 99.3 ambayo ni mali ya Shirika la…

Senyamule azindua mpango mkakati kudhibiti migogoro ya ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa wito kwa Halmashauri ya jiji la Dodoma na Kamati ya ardhi kufanya kazi kwa weledi ili kuutendea haki Mpango Mkakati wa kutokomeza kero za migogoro ya ardhi ambayo…

Spika Tulia aongoza kikao cha maspika nchini Cameroon

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, akiongoza kikao wakati wa Mkutano wa 18 wa Maspika na Viongozi wa Bunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CSPOC) uliofanyika Katika Ukumbi wa Mikutano wa Yaounde…

Serikali kujenga masoko matano ya mazao halmashauri Songea

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) enista Mhagama (Mb) Peramiho awaomba wananchi kuchangamkia fursa za uchumi zitakazo chochewa na ujenzi wa masoko ya mazao yanayotarajiwa kujengwa na Halmashauri ya wilaya ya Songea. Juhudi hizo za…

Dkt. Mpango kuanza ziara ya kikazi siku tano Ruvuma

Na Albano Midelo, JamhuriMedia,Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philipo Isdory Mpango anatarajia kuanza ziara ya kikazi mkoani Ruvuma kuanzia Julai 20,2023 hadi Julai 24,2023. Akizungumza…