JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Dk Mpango awashauri vijana kuacha kuuza viungo vya mwili

Vijana wametakiwa kuacha tabia ya kuuza viungo vyao vya mwili ikiwemo figo ili kuepukana na madhara ya kiafya. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa wito huo akiwa ziarani mkoani Ruvuma mara baada ya kuzindua jengo la kutolea huduma ya…

Klabu ya Simba yakamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji

Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji  Luis Jose Miquissone kwa mkataba wa miaka mitatu. Winga huyo raia wa Msumbiji, aliwahi kuitumikia Simba kabla ya kuuzwa Al Ahly ambayo nayo ilimtoa kwa mkopo kabla ya kutangazwa tena kurejea…

Yanga Princess yaitandika Geita Gold

Yanga Princess imeitandika Geita Gold mabao 3-0 katika mchezo wa kirafiki wa utangulizi katika Tamasha la Wiki ya Mwananchi linaloendelea Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Baada ya mchezo kukamilika, burudani ya muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali inaendelea huku mashabiki wakiendelea kumiminika uwanjani uwanjani hapo….

Polisi Katavi yasaka aliyemlawiti mtoto wa darasa la tatu

Polisi Mkoa wa Katavi inamsaka mtu mmoja ambaye bado hajafahamika kwa tuhuma za kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 12. Tukio hilo limetokea Julai 17, 2023 katika Kijiji cha Dilifu, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi ambapo mtuhumiwa alimvizia mtoto huyo…

Dkt.Mpango akerwa na matajiri,Polisi kupitisha malori yenye mifugo kinyemela

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Philip Mpango ameagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vina shugulikia migogoro ya wakulima na wafugaji ambayo inaletwa na baadhi ya viongozi pamoja na matajiri toka…

Watuhumiwa 106 jela kwa uhalifu Arusha

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kuanzia Januari hadi Juni, 2023 limefanikiwa kuwafikisha Mahakamani watuhumiwa wa makosa makubwa ya uhalifu ambapo 106 walipatikana na hatia na kuhukumiwa kwenda Jela vifungo mbalimbali. Akitoa taarifa hiyo leo Julai…