JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Majaliwa atoa siku saba kwa TARURA, DAWASA kukamilisha barabara Muhimbili

………………………………………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku saba Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam Godfrey Mikinga na Mkurugenzi wa Usafi wa Usimamizi wa Usafi wa Mazingira wa Mamlaka ya Maji Safi…

Upasuaji rekebishi kuimarishwa Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaHospitali ya Taifa Muhimbili itashirikiana na Chuo Kikuu cha Tiba kilichopo Bayreuth nchini Ujerumani katika kuwajengea uwezo wataalamu wa Kitengo cha Upasuaji Rekebishi wa MNH(reconstructive surgery). Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Prof. Mohamed Janabi alipokutana…

Serikali yaipa kipaumbele miradi ya umwagiliaji Ruvuma

Serikali imetenga fedha katika bajeti ya mwaka 2023/24 kwa ajili ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya umwagiliaji katika bonde la Mto Ruvuma, Ruhuhu na Litumbandyosi mkoani Ruvuma. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde katika ziara ya Makamu wa…

Simba yamtakia kila kheri Sakho

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya kumuuza kiungo mshambuliaji Pape Sakho kwenda klabu ya Quevilly Rouen Metropole. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu hiyo leo Julai 24, 2023 kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii na imemtakia kila kheri….

Kinana: Rais Samia ni msikivu na mwenye kutoa maamuzi kwa maslahi ya Taifa

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, ameeleza kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ni msikivu,mtulivu na mwenye kupokea ushauri na kutoa uamuzi kwa kutanguliza…

Watu 15 wafa maji Indonesia

TAKRIBANI watu 15 wamekufa baada ya kivuko kuzama kwenye kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia. Kivuko hicho kilikuwa na abiria 40 hata hivyo mamlaka inawatafuta watu 19 ambao hawajapatikana, shirika la kitaifa la utafutaji na uokoaji la Indonesia limesema leo. Abiria…