JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Dkt.Mpango: Serikali kuondoa changamoto zinazowakabili wakulima

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango amesema serikali itahakikisha inaondoa changamoto za wakulima katika msimu mpya wa kilimo ikiwemo kusogeza huduma za mbolea ya ruzuku katika maeneo ya jirani zaidi na wakulima. Makamu wa…

Zambia yavutiwa na mfumo wa masoko ya madini nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Sekta ya Madini nchini Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa kwa nchi nyingi za Afrika kwa namna ilivyoweza kurasimisha sekta ndogo ya uchimbaji madini na hivyo kupelekea wachimbaji wadogo kufanya shughuli zao kupitia mfumo ulio rasmi ambapo…

TANAPA kulipisha wanaotumia majina ya wanyama

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, DodomaKAMISHNA wa Uhifadhi ,Hifadhi za Taifa Tanzania ( TANAPA ) William Mwakilema amesema mtu yeyote anayetaka mnyama aitwe kwa jina lake atatakiwa kulipia gharama ya kiasi cha shilingi mil.5 ,lakini pia anayetaka kumuasili mnyama atatakiwa kulipia…

Watu 43 wafanyiwa upasuaji Bombo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kambi maalum ya upasuaji wa kurekebisha viungo iliyoanza Julai 17, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tanga ‘Bombo’ imefanikiwa kuwafanyia upasuaji watu 43 kati ya 86 hadi kufikia leo. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa…

Washiriki mkutano wa IAWP waanza kuona mafanikio

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es Salaam Mkutano wa Mafunzo wa Jumuiya ya askari Polisi wa Kike wa Duniani Ukanda wa Afrika (IAWP – International Association of Women Police – African Chapter) utafungua milango ya mashirikiano katika…

Rais Samia kuweka jiwe la msingi viwanja vya Mashujaa Mtumba jijini Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yamekamilika katika eneo la Mtumba jijini Dodoma huku Serikali ikitoa maelekezo kwa mikoa yote nchini kufanya maadhimisho hayo kwa kufanya usafi, upandaji miti na shughuli nyingine…