JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

Aua wajukuu wake kwa kuwapiga kichwani na mchi wa kutwangia

Polisi mkoani Songwe limemkamata, Aloyce Nyabwanzo (51), mkazi wa kitongoji cha Kikamba,kijiji cha Kapalala Wilayani, Songwe kwa tuhuma za kuwaua wajukuu zake wawili kwa kuwapasua mafuvu ya kichwa na mchi wa kutwangia mahindi na kusababisha ubongo kumwagika. Kamanda wa Polisi…

Katambi afafanua mfumo wa kuwalipa kiinua mgongo wazee

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi amesema serikali inazingatia watanzania wote wanaojenga nchi yao na imeweka utaratibu wa kupata pensheni kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa waajiriwa na waliopo kwenye…

Waziri Mkenda atoa wito kwa watahiniwa wanaoanza mitihani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa watahiniwa wanaoanza mitihani kuzingatia masharti na taratibu zote za mitihani.  Waziri Mkenda ametoa wito huo jijini Dodoma wakati akitoa salamu za kheri kwa…

Wajawazito kupimwa vipimo vya awali bila malipo

Na Catherine Sungura, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka akina mama wajawazito wanaofika kwenye Kliniki za Uzazi, Mama na Mto kupimwa wingi wa damu, mkojo kuangalia wingi wa protini, shinikizo la damu pamoja na kusikiliza mapigo ya moyo…