JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

Ripoti ya APRM kuwasilishwa kwa wakuu wa nchi na Serikali 2024

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Serikali imeeleza kuwa Mpango wa Hiari wa Afrika wa Kujitathmini katika Masuala ya Demokrasia na Utawala Bora (APRM) nchini Tanzania imekamilisha taratibu za kuwasilisha Ripoti ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa APRM (2014 – 2029)…

Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam chatoa mbinu za kukabiliana na majanga ya mto

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi-Dar es salaam Chuo cha Taaluma ya Polisi Dae es Salaam (DPA) kimeendelea kutoa elimu na mafunzo mbalimbali kwa maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali katika kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapotokea. Akitoa…

Nchi za Kusini mwa Afrika kuendeleza soko la ndani la mitaji

Na Peter Haule, JamhuriMedia, Arusha Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba, amesema kuwa nchi za Kusini mwa Afrika zinaangalia namna ya kuendeleza soko la ndani la mitaji kwa kutumia Hati fungani ili kuziwezesha…

TANESCO yaandika historia, yasaini mradi wa kuzalisha umeme jua wenye thamani ya Bilioni 274.76/-

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limeandika historia kwa kusaini mkataba wa kuzalisha umeme jua wenye thamani ya Bilioni 274.76 Kwa  kutumia teknolojia ya “Solar Photo Voltaic”Wenye uwezo wa kuzalisha megawatt 150 za umeme. Mkurugenzi Mtendaji…