JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

Miili ya watuhumiwa wa ujambazi yatambuliwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Miili ya watu wanne waliokufa kwa tuhuma za ujambazi Aprili 25,2023 majira ya saa 03:10 jijini hapa tayari imeshatambuliwa na kufanyiwa taratibu za maziko na ndugu zao. Kwa mujibu wa Msimamizi wa Kitengo cha kuhifadhi…

Polisi yatoa ufafanuzi kifo cha mwanafunzi UDOM

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi-Dar es Salaam Jeshi la Polisi Nchini Tanzania limesema kuwa limeona mjadala katika mitandao ya kijamii ikuhusiana na kifo cha Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Nusura Hassan Abdallah kilichotokea huko Mkoani Kilimanjaro. Akitoa…

Makamu mwenyekiti CCM Zanzibar aanza ziara ya kuimarisha chama

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza   katika Mkutano wa Mabalozi na Halmashauri Kuu za CCM Majimbo ,Wilaya na  Mkoa wa Magharibi Kichama  katika ukumbi wa Piccadiliy Kombeni Wilaya Magharibi…

Timu ya mawaziri yawasili Mara kutafuta ufumbuzi wa migogoro ya ardhi

OR -TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki akiwa ameambatana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula pamoja na Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Marry Masanja…