JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

Lisu ataka waliompiga risasi kuendelea kutafutwa

Na Dotto Kwilasa, JAMHURI MEDIA, Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA)Tundu Lissu amefika katika kituo kikuu cha Polisi Dodoma kuona gari alilokuwemo ndani yake wakati akishambuliwa September 7,2017 Jijini hapa eneo la Area D. Ikiwa imepita…

Kumiliki laini ya simu zaidi ya moja ni kosa

Na Bashir Yakub, JAMHURI MEDIA Huwa nawaambia kila siku kuwa jambo hadi likukute ndipo utajua kuwa lipo. Na nyote si mnajua kuwa kutokujua sheria si kinga/hoja/udhuru. Hautafikishwa mahakamani ukasema nilikuwa sijui, halipo hilo. Kanuni ya 37 ya GN. No.60/2023 Kanuni…

Serikali kutoa kifuta jasho waliovamia shamba la Utegi Rorya

Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Rorya Serikali itatoa fidia ya kifuta jasho cha maendelezo kwa wananchi watakaobainika kuvamia eneo la shamba la Utegi lililopo wilayani Rorya mkoani Mara baada ya kufanyiwa utambuzi. Eneo lililovamiwa lina ukubwa wa hekta 476.52 na kujumuisha vitongoji vya Kibinyongo, Mabatini,…

Mahakama Kanda ya Kigoma yajitathmini kiutendaji

Na Aidan Robert, JamhuriMedia, Kigoma Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma Mhe. Lameck Michael Mlacha ameongoza kikao cha Menejimenti katika Kanda hiyo kufanya tathmini ya utendaji kazi kwa robo mwaka ya Januari hadi Machi,2023 lengo likiwa…

Aua watu 8 kwa risasi Marekani, naye auawa

“Tulianza kukimbia, watoto walikuwa wakikanyagwa”. Anaeleza Maxwell Gum (16),mfanyakazi wa stendi karibu na eneo ambalo mauaji ya risasi ya watu nane katika jiji la Texas Marekani . Yeye na wengine walijihifadhi kwenye chumba cha kuhifadhia vitu. Mauaji haya yametekelezwa na…

Wananchi wajiandaa kuvamia eneo TFS

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Wananchi zaidi ya 2,000 wa Kijiji cha Nyeburu, Kata ya Chanika, wanajiandaa kuvamia upya eneo lililomegwa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) ili kuendeleza shughuli zao za kila siku, kwa madai serikali imeshindwa kutatua mgogoro…