JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

JKT Tanzania yapongezwa kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2023/24

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu, ameipongeza Klabu ya JKT Tanzania kwa kurejea kucheza Ligu Kuu Soka Tanzania Bara msimu mwaka 2023/2024 baada ya kumaliza vinara katika ligi Championship msimu 2022/2023. Yakubu…

Serikali yafanya mapinduzi makubwa sekta ya afya

Na Catherine Sungura,WAF- Dodoma Serikali imefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya afya kwa kuweka mfumo madhubuti wa huduma za dharura na ajali kuanzia ngazi ya Taifa hadi wilaya ambapo matokeo ya uwekezaji huo ni kupunguza vifo kwa 40% ndani ya…

Tanzania,Burundi na UNHCR zasaini makubaliano ya kuwarejesha wakimbizi kwa hiari Burundi

Na Mwandishi Wetu Tanzania, Burundi  na Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR)  zimesaini makubaliano ya pamoja kuhusu kuendelea kuwarejesha  kwa hiyari Nchini kwao Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa Nchini Tanzania makubaliano yaliyofikiwa mjini Gitega Burundi katika mkutano wa 23 wa pande tatu…