JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

Kata ya Mkwawa watoa msaada wa mil.15/- kwa Sekondari ya Matogoro Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMediia, SongeaDiwani wa Kata ya Matogoro iliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Issa Mkwawa kwa kushirikiana na uongozi wa kata hiyo wametoa msaada wa viti na meza 302 vyenye thamani ya sh.milioni 15 katika shule ya Sekondari…

Yanga yaandika historia, yaibamiza Marumo Gallants 2-0

Klabu ya Yanga inefanikiwa kutinga Fainali Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kufanikiwa kuondoka na ushindi wa mabao 2-1 (agg-4-1) dhidi ya timu ya Marumo Gallants ambapo mchezo wa mkondo wa kwanza Yanga akiwa nyumbani alipata ushindi wa mabao…

Majaliwa aunda kamati ya watu 14 mgogoro wa wafanyabiashara Kariakoo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameunda tume ya watu 14 ambayo itachakata kero na mapendekezo ya wafanya biashara wa soko la kimataifa la Kariakoo. Ameunda tume hiyo leo Jumatano (Mei 17, 2023) wakati alipozungumza na wafanya biashara wa soko hilo katika…

Mwenge wa uhuru waridhishwa na ujenzi wa mradi wa Kongani KAMAKA

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenge wa Uhuru,umepitia na kuridhishwa na mradi wa ujenzi wa Kongani ya viwanda ya KAMAKA ,Disunyara, Kibaha Vijijini Mkoani Pwani, ambapo hadi kukamilika itatumia gharama ya Trilioni 3.1 na kutoa ajira 200,000. Akitembelea mradi huo,…

Ugonjwa wa shinikizo la juu la damu bado ni tishio

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema tatizo la ugonjwa wa shinikizo la juu la damu nchini bado ni kubwa ambapo kwa wagonjwa waliotibiwa katika Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete (JKCI)tangu ilipoanzishwa Septemba 2015 hadi Aprili…

Albert Chalamila: RC staa asiyeishiwa vituko, karibu Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mei 15, 2023 Rais Samia alifanya uhamisho wa wakuu wa mikoa akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala na kumteua Albert Chalamila kuchukua nafasi yake akitokea Mkoa wa Kagera… Baada ya taarifa hiyo kutolewa…