JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

TTCL kupaisha Tanzania kimataifa kupitia utalii wa mawasiliano

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kuelekea bajeti ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kwa mwaka 2023/2024, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson amelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL),…

Rais Samia atoa salamu za rambirambi ajali ya ndege Moro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Adam Kighoma Malima kutokana na vifo vya watu wawili katika ajali ya ndege. Ajali hiyo imetokea katika kiwanja cha ndege cha Matambwe…

Kinana akutana na Rais wa Jamhuri ya Kisoshalist ya Vietnam

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdulrahman Kinana ameongoza Ujumbe wa CCM kwenye mazungumzo na Vo Van Thuong, Rais wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam, Jijini Ha Noi, Viet Nam. Katika mazungumzo hayo, Kinana aliwasilisha ujumbe maalum kutoka…

Bunge limeidhinisha bajeti ya bilioni 74.2 kuimarisha huduma za maendeleo ya jamii

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya shilingi Billioni 74.2 ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalumu itakayosaidia kuratibu afua za kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wanawake…

Wafanyabiashara wakubwa wakwepa kodi tangu enzi za Awamu ya Nne watajwa kuwa chanzo cha mgomo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Imebainika kuwa wafanyabiashara wakubwa wanaokwepa kodi za forodha za kuingiza makontena ya bidhaa kutoka China na baadhi ya wanasiasa ndiyo waliokuwa chanzo kikuu cha mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo, huku wafanyabiashara wadogo wakitumika kama chambo na…

Mmoja afariki baada ya daladala kuligonga treni Dar

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada daladala waliokuwa wamepanda kuligonga treni katika makutano ya barabara na reli eneo la Kamata jijini Dar es Salaam. Ajali hiyo imetokea leo saa 12 asubuhi Mei 18, 2023 wakati daladala hilo…