Month: May 2023
DC Kaliua awasimamisha kazi wauguzi wanaotuhumiwa kusababisha kifo cha mapacha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora Dkt Rashid Chuachua ameagiza kusimamishwa kazi Watumishi 2 wa Kituo cha Afya Kaliua wanaotuhumiwa kuzembea kumhudumia mama aliyejifungua mapacha 2 lakini wakapoteza maisha kwa kukosa huduma. DC Chuachua…
Serikali kujenga kituo maalum cha matibabu ya magonjwa ya mlipuko
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga hekali 90 kwa ajili ya ujenzi wa kituo maalumu cha magonjwa ya mlipuko (isolation center) ikiwemo ugonjwa wa Marburg katika Mkoa wa Kagera kutokana na mwingiliano na wananchi kutoka…
Shaib: Rushwa inazorotesha maendeleo, Tuwafichue wanaojihusisha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibiti Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka huu Abdallah Shaib Kaim, ameeleza licha ya juhudi za Serikali kuboresha huduma na miradi mbalimbali ,wapo baadhi ya wala rushwa wanaokwamisha na kuzorotesha juhudi hizo. Kutokana…
Yanga yadhamiria kubeba makombe
Timu ya Yanga imedhamiria kuchukua makombe yote manne msimu huu baada ya kuichapa bao 1-0 Singida Big Stars na kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) mchezo ambao ulipigwa kwenye uwanja wa Liti Mjini Singida. Yanga Sc wapo…