JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

UVCCM yazielekeza taasisi za kifedha, sekta binafsi kushirikiana kuinua vijana

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umezielekeza Benki na taasisi nyingine za kifedha Pamoja na sekta binafsi kushirikiana moja kwa moja na Wizara ya kilimo katika kuhakikisha vijana wa kitanzania wanapata mitaji, masoko…

Wanamichezo wa JWTZ waibuka kidedea mashindano ya Majeshi Duniani

Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia- MAELEZO Serikali imesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imeshiriki katika michezo mbalimbali ndani na nje ya nchi ikiwemo mashindano ya Dunia ya Michezo ya Majeshi yaliyofanyika Ujerumani, mwezi Julai 2022, Michezo ya Jumuiya ya…

JWTZ yaendeleza Diplomasia ya Kijeshi, yathibitisha Tanzania kisiwa cha amani

Uhakika wa amani, ulinzi na usalama ni nyenzo muhimu katika kuwawezesha wananchi kuishi na kuendelea na shughuli zao za maendeleo. Katika kuzingatia hilo, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kupitia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)…

Vijana 24,458 wapatiwa mafunzo ya JKT

Na Immaculate Makilika ,JamhuriMedia-MAELEZO Serikali imesema kuwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeendelea kuwapatia vijana wa Kitanzania mafunzo ya ukakamavu, stadi za kazi, kuwajengea uzalendo na umoja wa kitaifa. Ambapo, mafunzo yamefanyika kwenye kambi mbalimbali za JKT kupitia Operesheni Jenerali…

Tanzania kuomba kuwa mwenyeji wa Mashindano ya AFCON mwaka 2027

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Kenya na Uganda kupitia Pamoja Bid wamedhamiria kuwa mwenyeji wa michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (African Cup of Nations) 2027. Rais Samia amesema nchi…