JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2023

Serikali yaendelea kuzitafutia ufumbuzi changamoto za muungano

Katika kuhakikisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaendelea kudumu na kuimarika, Serikali imesema inaendelea na jitihada za kuzitafutia ufumbuzi Hoja nne za Muungano zilizobaki. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geofrey Pinda kwa niaba…

NMB yawa ya kwanza kuzindua malipo kwa QR na Unionpay International

Na Mwandishi Wetu BENKI ya NMB kwa kushirikiana na UnionPay International (UPI), wamezindua suluhisho la malipo ya kimtandao kupitia QR kwa wateja wao (NMB – UPI QR Code), huduma isiyo na mipaka ya malipo kwa watalii ama wageni wanaotua nchini…

TANAPA yafafanua vurugu mto wa Mbu zilizosababisha kifo cha mtu mmoja

Na Pamela Mollel, JamhuriMedia,Arusha Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) William Mwakilema ametoa ufafanuzi wa tukio la vurugu zilizotokea kitongoji cha Jangwani eneo la Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha ambazo zimesababisha mtu mmoja kupoteza…

PSSSF yatoa pole kwa waliporomoka la lift jengo la Millenium Tower Dar

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umetoa pole kwa waathirika wa hitilafu ya lifti iliyotokea katika jengo la Millenium Towers lililoko Makumbusho jijini Dar es Salaam. Katika taarifa iliyotolewa leo Mei 24, 2023 na Meneja Uhusiano…

Waziri Bashungwa amshukuru Rais Samia kuendelea kuzipa kipaumbele shughuli za ulinzi

Na Jacquiline Mrisho , JamhuriMedia, MAELEZO Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuzipa kipaumbele shughuli za ulinzi kwa kutoa fedha kugharamia…