JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Morrison kuwahi Simba NBC

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Ripoti imeeleza mshambuliaji kutoka nchini Ghana, Benard Morrison ameshapona kwa asilimia 80 na hivyo mchezaji huyo kuweza kuuwahi mchezo wa ligi kuu Tanzani Bara dhidi ya Simba Sc. Morrison kwa kipindi kirefu amekuwa nje ya kikosi cha…

Polisi wazingira mitaa ya Nairobi kudhibiti maandamano

Askari wa kutuliza ghasia nchini Kenya wako katika mitaa ya mji mkuu, Nairobi, katika jitihada za kuzuia maandamano yaliyoitishwa na upinzani kuhusu gharama ya juu ya maisha na madai ya ukiukwaji wa maadili katika uchaguzi. Pia kuna idadi kubwa ya…

Waziri Nape kufungua Kongamano la 12 la Kitaaluma la TEF Morogoro

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),linatarajia kufanya Kongamano la 12 la Kitaalamu mkoani Morogoro ambapo linatarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye. Akizungumza na vyombo vya habari kuhusu kongamano hilo la siku…

Ummy awajulia hali waliowekwa karantini kwa kuwahudumia wagonjwa wa Marburg

Na WAF – Bukoba,JamhuriMedia,Kagera Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewatembelea watumishi wa afya waliowekwa sehemu maalumu ya uangalizi baada ya kuwahudumia wagonjwa wa Marburg walioripotiwa katila Wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera. Ziara hiyo ameifanya leo akiambatana na Wawakilishi kutoka Shirika…

Azam hatihati kumkosa Ibenge

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Miamba kutoka Azam Complex huwenda ikashindwa kunasa saini ya kocha kutoka DR Congo, Florent Ibenge ambaye amekuwa akitajwa kuwaniwa na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu 2022/23. Inaelezwa kuwa mabosi wa klabu ya Al Hilal ya nchini…

Amrouche aipongeza Uganda

Na Tatu Saad,JAMHURIMEDIA Licha ya ushindi wa bao 1-0 walioupata Taifa Stars dhidi ya Uganda katika mchezo wa kundi F kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika ‘AFCON 2023’ uliopigwa katika uwanja wa Suez Canal Authority uliopo nchini Misri,kocha Adel Amrouche…