Month: March 2023
Kunenge:Pwani haturidhiki na hali ya usafiri kivuko cha Mafia
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani ,alhaj Abubakari Kunenge,ameeleza mkoa hauridhiki na hali ya usafiri wilayani Mafia, kwani wananchi wa wilaya hiyo bado wanachangamoto kubwa ya kupata kivuko kitakachojibu kero ya usafiri waliyonayo. Aidha wilaya hiyo,inakabiliwa na changamoto…
Wanaokwamisha mabadiliko ya mahakama kuchukuliwa hatua
Magreth Kinabo na Stanslaus Makendi, Dodoma Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania,Mustapher Siyani amesema kwamba uongozi wa Mahakama ya Tanzania utachukua hatua ya kumwajibisha mtumishi yoyote yule ambaye atakuwa ni kikwazo wa mabadiliko yanayofanywa na mhimili huo katika kuelekea…
Rais Samia awataka viongozi kutekeleza na kusimamia majukumu yao
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Viongozi kukumbushana misingi ya uongozi na taratibu za utendaji kazi Serikalini kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo iliyopo. Rais Samia amesema hayo leo wakati akifungua Mkutano wa Faragha (Retreat)…
Sera nzuri za Samia zilivyowavutia waajiri wengi kujisajiri WCF
Na mwandishi wetu, Dodoma Kumekuwa na ongezeko kubwa la waajiri kujisajili na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya sita, Mkurugenzi Mkuu wa WCF, Dkt. John Mduma amesema. Dkt. Mduma ameyasema hayo wakati akizungumza…