JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Maeneo ya kazi yaliyosajiliwa na OSHA yaongezeka

Katika kipindi cha miaka miwili cha uongozi wa serikali ya awamu ya sita Wakala wa Usalama Mahala pa kazi (OSHA) umeongeza idadi ya maeneo ya Kazi yaliyosajiliwa kutoka 4,336 hadi 11,953 ikiwa ni ongezeko la asimilia 276. Hayo ameyasema leo…

TANESCO yakabidhi kisima cha maji Nyani Pwani

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limendelea na jitihada zake za uwajibikaji kwa jamii kwa kusadia uchimbaji wa Kisima Shule ya Msingi Nyani iliyoko Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani. Akizungumza Mkurungezi wa Fedha TANESCO Renata Ndege kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa…

Nyumba ya Nyerere,Samora  vivutio vya kihistoria  Masonya Tunduru

Na Albano Midelo ENEO la Masonya lililopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma lina utajiri wa utalii wa malikale na utambulisho wa Taifa kimataifa. Eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 100 lina vivutio adimu vya utalii wa malikale…