JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Rais Samia: Mimi sichukulii wapinzani kama maadui

“Mtanzania yoyote, awe chama chochote cha siasa. Tunachotofautiana ni mawazo tu na fikra. Mimi sichukulii wapinzani kama maadui, nawachukulia kama watu watakaonionesha changamoto zilipo nizitekeleze ili CCM iimarike,” Rais Samia Suluhu Hassan. Arusha, Machi 5, 2023 Rais Samia pia amekubali…

Watatu wafariki wakiwemo Polisi wawili katika ajali Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Watu watatu Mkoani Pwani wakiwemo Polisi wawili wamefariki dunia pamoja na mmoja kujeruhiwa ,baada ya gari lenye namba za usajili T.323 BAL aina ya Toyota Crester likiendeshwa na mkaguzi waPpolisi Ndwanga Dastan kuacha njia kisha kugonga karavati,na…

Kwaresma tujikabidhi kwa Mungu

Na Adeladius Makwega-Buigiri Wakristo wameambiwa kuwa Kipindi cha Kwaresma ni cha kusali zaidi, kipindi cha kuombeana mbele za Mungu na kipindi cha kujikadihi kwa Mwenyezi Mungu. Hayo yamesemwa an Padri Paul Mapalala Parokiani Chamwino Ikulu katika Kanisa la Bikira Maria…

Sungusungu wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji Tabora

Na Allan Vicent,JamhuriMedia,Tabora Walinzi 5 wa jadi maarufu kwa jina la Sungusungu wilayani Sikonge mkoani hapa wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Tabora kwa tuhuma za mauaji ya mwananchi wakiwa kwenye doria. Walinzi hao ambao ni wakazi wa…

Ngoro kilimo kilichogundulika miaka 300 iliyopita Mbinga

Na Albano Midelo,JamhuriMedia Ngoro ni aina ya kilimo kinachohifadhi mazingira kwa njia ya asili ambacho kinaaminika kilianza kutumika na wakulima wa kabila la wamatengo Wilaya ya Mbinga Mkoa wa Ruvuma zaidi ya miaka 300 iliyopita. Kilimo cha ngoro kilianzishwa na…

Kila wagonjwa watatu wanaolazwa mmoja ana magonjwa yasiyoambukiza

Na. WAF – Dodoma Takwimu zinaonesha kuwa kila wagonjwa watatu wanaolazwa mmoja ana magonjwa yasiyoabukiza ambapo inapelekea kuchangia asilimia 34 ya vifo Tanzania. Hayo ameyasema leo Mkurugenzi wa Tiba Prof. Paschal Ruggajo kwenye mkutano wa mafunzo kwa Mama na Baba…