JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Serikali yapiga marufuku watoto chini ya miaka 10 kusoma shule za bweni

Na Mwandishi Wetu Serikali imepiga marufuku shule za bweni kwa wanafunzi wa shule ya awali na madarasa ya mwanzo ya shule za msingi , malengo ni kuwapa watoto fursa ya kuwa na uhusiano na familia zao kuelewa mila, tamaduni na…

RC Mara awashtaki wabunge kwa utoro kwenye vikao

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee amewashitaki wabunge wa majimbo kwa mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa kwa kutohudhuria vikao vya Bodi ya Barabara ikiwemo kikao cha ushauri cha mkoa RCC bila kutoa taarifa yeyote. Akizungumza…

TANROADS Pwani yatoa mapendekezo ya mpango kazi wa bil.52/-

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Wakala wa Barabara mkoani Pwani (TANROADS),imetoa mapendekezo ya kiasi cha fedha sh.bilioni 52.378 katika mwaka wa fedha 2023/2024 ikiwa ni mpango kazi wa matengenezo ya barabara na miradi ya maendeleo. Aidha, TANROADS Pwani,imefanya kazi kubwa kutekeleza mradi…

Makamba: Majadiliano mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia yakamilika

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, amesema kuwa, majadiliano yanayohusu Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia  baina ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji Kampuni ya Shell ya Uholanzi na Equinor ya Norway na washirika wao yamekamilika na kwamba sasa…

Yanga SC yamtaka Fei Toto kuripoti kambini haraka

Klabu ya Yanga imemtaka mchezaji wake Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ kuripoti kambini haraka iwezekanavyo mara baada ya klabu hiyo kupokea marejeo ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kuhusu suala la mchezaji. Hayo yamesema kupitia taarifai liyotolewa na…