JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Masauni:Vituo vya Polisi vilivyokwama ujenzi tangu mwaka 2015 sasa kujengwa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema vituo vya Polisi vya Wilaya ya Ikungi na Mkalama Mkoani Singida ambavyo vilikwama ujenzi wake tangu mwaka 2015 sasa vitaanza kujengwa muda wowote kuanzia sasa. Waziri Masauni amesema hayo…

Dkt.Yonazi:Tuimarishe ufanisi katika utendajikazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu, Dkt. Jim Yonazi, amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kuimarisha ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku ili kufanikiwa katika kufikia malengo ya Serikali. Ameyasema hayo mapema…

JWTZ latangaza nafasi za vijana kujiunga na jeshi

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limetangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo kwa vijana Watanzania wenye elimu ya kuanzia kidato cha nne hadi Shahada ya Uzamili ambao wamemaliza Mkataba wa Mafunzo ya kujitolea…

Waziri Kikwete:Zifuatwe njia nzuri kuwapa motisha watumishi

Na James Mwanamyoto,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Ridhiwani Kikwete ameitaka Idara ya Mishahara,Motisha na Marupurupu kubuni njia mbalimbali za kutoa motisha kwa watumishi wa umma ambazo zitatumiwa na waajiri Serikalini ili kuwajengea ari…

Mkataba wa kusafisha, kukagua bomba la gesi asilia wasainiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshuhudia utiaji saini wa mkataba wa kazi ya kusafisha na kukagua bomba la gesi asilia kati ya Kampuni ya Maurel and Prom Exploration Production Tanzania Limited na Kampuni…

Jukwaa la Maendeleo ya Utamaduni kushirikiana kukuza utamaduni nchini

Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Balozi wa Uswisi hapa nchini ambaye pia ni Mkuu wa Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kimataifa Leo Näscher kuhusu ushirikiano…