JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Jaji Mkuu ataja faida za majaji na mahakimu wanawake

Magreth Kinabo na Mary Gwera Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amefungua Kongamano maalum la kusherehekea Siku ya Majaji na Mahakimu Wanawake Duniani lililoandaliwa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) ambapo amebainisha kuwa, uwepo wa Majaji…

Taasisi ya wanawake na diplomasia yampongeza Rais Samia

Taasisi ya Wanawake na Diplomasia, imetoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kutumia diplomasia kuifungua nchini katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya uchumi na diplomasia. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwenye…

Tanzania,Namibia zasaini hati za makubaliano ya ushirikiano

Windhoek, Namibia, 10 Machi 2023 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri Namibia zimesaini Hati za Makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya usalama, mishati na mashauriano ya kisiasa na kidiplomasia. Hati za Makubaliano hayo zimesainiwa katika Mkutano wa Tatu wa…

Serikali yajipanga kuendeleza michezo sita ya kipaumbele

Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imejipanga vema kusimamia na kuendeleza michezo sita ya kipaumbele ya kimkakati ikiwemo mpira wa kikapu ili kuleta tija katika sekta ya michezo nchini. Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema hayo…

TUCTA:Maeneo ya kazi yanapokuwa salama kunaongeza uzalishaji

Na Mwandishi Wetu,JAMHURIMEDIA Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limetoa wito kwa maeneo ya kazi nchini kuzingatia taratibu zote za usalama na afya mahali pa kazi ili kulinda nguvukazi na mitaji iliyowekezwa jambo ambalo litapelekea tija kupatikana katika uzalishaji….

Pinda ataka uwajibikaji wa pamoja na kuongeza maduhuli ya serikali

Na Anthony Ishengoma,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geofrey Pinda, amesema vipaumbele vya Wizara kwa sasa ni kuongeza kasi ya ukusanyaji maduhuli ya serikali kupitia pango la Ardhi lakini kuboresha mawasiliano kati ya watendaji ardhi walioko…