Month: March 2023
Mlawa atoa matofali 1,000 ujenzi ofisi ya Kata Zinga
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi, Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani Aboubakary Mlawa, amechangia matofali 1,000 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Jumuiya hiyo Kata ya Zinga. Hatua hiyo ni mkakati wa jumuiya hiyo ,kuhakikisha kila tawi…
Simba wajibu mapigo
Na Tatu Saad,JAMHURIMedia Afisa habari wa klabu ya wekundu wa msimbazi Simba Sc amewajibu baadhi ya mashabiki na wapenzi wa soka wanaosema timu hiyo ni mbovu. Ameeleza hayo katika mkutano wao na waandishi wa habari uliofanyika mapema ya leo Machi…
Tanzania kushirikiana na Jumuiya ya Madola kukabili changamoto za kidunia
Tanzania imeahidi kushirikiana na Jumuiya ya Madola kukabiliAna na changamoto za kidunia zikiwemo mabadiliko ya tabianchi, Uviko 19, migogoro, ugaidi na umasikini. Ahadi hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel…
Spika awasilisha hoja ya dharura kuchagiza kuundwa kwa mfuko wa maafa duniani
Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kundi la Afrika katika Umoja wa Mabunge Duniani (Africa Geopolitical Group in the IPU), Dkt. Tulia Ackson, jana Machi 12, 2023 amehutubia Mkutano wa 146 wa Umoja wa Mabunge Duniani…