JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Malezi yazingatie maadili ya Mtanzania

Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo inawasisitiza wazazi, walezi na walimu kuzingatia maadili katika malezi ya watoto nyumbani,shuleni na vituo vya malezi ili kutoa huduma ya malezi kwa watoto kwa kuzingatia maadili ya Mtanzania. Hayo yamesemwa…

Mtibwa Sugar yatoa shukrani

Na Tatu Saad,JAMHURIMedia Klabu ya walima miwa kutoka mjini Morogoro ‘Mtibwa Sugar’ imetoa shukrani zake kwa wote waliokuwa nao katika kipindi kigumu cha msiba wa aliyekuwa mchezaji wao Iddy Mobby Mfaume. Kabla ya kukutana na wekundu wa msimbazi Machi 11,…

Kamati yaridhishwa na miradi ya umeme vijijini Iringa

Na Veronica Simba – REA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini mkoani Iringa. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo, jana baada ya ziara ya…