JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Watu 251 wapimwa viashiria vya magonjwa ya moyo Dodoma

Jumla ya watu 251 wamepata huduma ya upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo pamoja na ushauri wa jinsi ya kuepukana na magonjwa hayo kutoka kwa wauguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Upimaji huo ulifanyika katika maadhimisho ya…

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt.Stergomena Tax kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan amekabidhi rasmi msaada wa kibinadamu kwa Serikali ya Malawi kwa ajili ya kuwasaidia wahanga wa kimbunga Freddy…

Kamati yaagiza wadaiwa sugu kuondolewa nyumba za TBA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiagiza Wakala wa Ujenzi Tanzania (TBA), kuwaondoa wapangaji ambao hawalipi kodi ya nyumba, hususani watumishi wa taasisi za serikali. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Seleman Kakoso ametoa agizo hilo jana jijini Dar es Salaam…

Mabucha ya nyama yabainika kufanya udanganyifu kwenye mizani Dar

Wakala wa Vipimo Mkoa wa Dar es Salaam imeendeshaukaguzi wa kushtukiza kwenye maduka ya kuuzia nyama kwa lengo la kujiridhisha kama vipimo vinatumika kwa usahihi. Takribani maduka 21 yamekaguliwa na mabucha manne yamebaini kufanya udanganyifu kwa kutokutumia vipimo kwa usahihi…