JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2023

Kamati ya kuchakata data za hali ya hewa duniani yakutana Tanzania

Tanzania imekuwa mwenyeji wa mkutano wa Kamati ya Kuchakata Data za Hali ya Hewa Duniani, lengo ikiwa ni kuhakikisha data za hali ya hewa zinatumika ipasavyo na taasisi za hali ya hewa katika nchi wanachama wa Shirika la Hali ya…

Mchungaji afunga kanisa baada ya kushinda Mil.100 za betting

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Mchungaji mmoja kutoka nchini Uganda amefunga kanisa lake baada ya kushinda sh. Milioni 100 kwenye mchezo wa bahati nasibu (betting). Machi 16, mwaka huu, mtandao mmoja Uganda ulichapisha taarifa za mchungaji huyo akieleza kuwa ameamua…

Rais wa Kenya asema hakuna mtu aliye juu ya sheria

Rais William Ruto amesema kwamba hatakubali “kutoijali nchi” baada ya maandamano ya ghasia kukumba mji mkuu, Nairobi na mji wa magharibi wa Kisumu. Maandamano hayo yaliandaliwa na mwanasiasa wa upinzani Raila Odinga ambaye analaumu sera za serikali kwa kuzidisha kupanda…

Michuano ya robo fainali za kombe la shirikisho kuanza April

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Shirikisho la soka Tanzania ‘TFF’ hatimaye limeweka bayana tarehe maalum za michezo minne ya hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’ msimu huu 2022/2023. Taarifa hiyo muhimu imetolewa kupitia vyanzo vya habari…

Serikali yashauriwa kuanzisha barabara za kulipia tozo

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yaishauri Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuanza na mfumo wa barabara zenye tozo katika mradi wa ujenzi wa barabara njia nane kutoka Kimara Jijini Dar es Salaam hadi Kibaha mkoa wa…

Mahakama yamwachilia huru aliyetuhumuwa kumuua ya askari

Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Imemwachilia huru Amani Philipo Mkazi wa Mbezi Dar es Salaam aliyefunguliwa mashitaka ya mauaji kwa kukusudia ya sajent Mensah wa kituo Cha polisi mabatini,kijitonyama. Uamuzi huo umetolewa Leo Machi 20,…