JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Walengwa wa TASAF wahimizwa kuchangia asilimia 10 kuwezesha ukamilishaji miundombinu

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amewataka walengwa wa TASAF Wilayani Makete kuchangia nguvu kazi yao ya asilimia 10 ili kuwezesha ukamilishaji wa miradi ya TASAF ya ujenzi wa miundombinu kwa…

Serikali yaondoa ukomo matumizi ya vitambulisho vya NIDA

Serikali imetangaza kuondoa ukomo wa matumizi ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) vilivyomalizika muda wake kufuatia mabadiliko ya Kanuni za Usajili na Utambuzi wa Watu za mwaka 2014. Hayo yamesemwa leo Februari 21, 2023 na Waziri, Mambo ya Ndani ya Nchi…

Rais Samia aiongezea thamani minada, atoa bil.5.9/-

Na. Edward Kondela,JamhuriMedia,Arusha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 5.9 kwa mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa minada mipya na ukarabati wa minada ya zamani ili kuboresha usalama wa mifugo. Naibu Waziri wa Mifugo na…

Waziri Masauni amsimamisha kazi OCD Kilombero

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamadi Masauni amemsimamisha kazi Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kilombero (OCD) Shedracck Kigobanya huku akimuhamisha kituo cha kazi Mkuu wa Upelelezi Wilaya hiyo (OC CID), Daud Mshana kwa kushindwa kuwasimamia askari wake na…

Fisi ajeruhi vibaya watu saba Mara

Takriban watu saba wanaripotiwa kujeruhiwa vibaya na fisi wilayani Tarime mkoani Mara. Tukio hilo limetokea mapema leo asubuhi Februari,21 2023 eneo la Bugos nje kidogo ya mji wa Tarime , viongozi wa eneo hilo wamesema. “Idadi ya majeruhi waliopata matibabu…

Rais Samia na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umaoja wa Falme za Kiarabu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na amefanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Sheikh Shakhboot Bin Nahyan aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Tunguu Zanzibar leo Februari…