JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Makamu wa Rais afungua Jukwaa la uwekezaji na biashara baina ya Tanzania Ulaya

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka Umoja wa Ulaya kuwekeza nchini katika sekta za Kilimo, Usafirishaji, Nishati,Tehama,Utalii na katika Viwanda vya kuongeza thamani kwa kuwa serikali inahitaji kufungua zaidi sekta…

Kunenge:Wananchi 250 waliovamia eneo la Balozi Mlai Mapinga waondoke

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Mapinga Mwenyekiti wa kamati ya Usalama mkoa wa Pwani, alhaj Abubakari Kunenge, amesema Serikali inaendelea kusimamia Maamuzi ya hukumu za mahakama katika migogoro ya ardhi kata ya Mapinga ,na hawawezi kuipinga mahakama . Amewashauri walioshinda mashauri yao kuona…

Ridhiwani:Orodhesheni majina ya wawekezaji waliohodhi ardhi bila kuziendeleza

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Naibu Waziri wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi ,Ridhiwani Kikwete amewaasa wananchi kuheshimu taratibu na sheria kwakuwa ndiyo msingi utakaoleta amani katika jamii yetu. Amezitaka Serikali za vijiji kuorodhesha majina ya wawekezaji ambao wamehodhi ardhi…

Mamlaka ya Viwanja vya ndege (TAA) yatolea ufafanuzi taarifa za ajali ya ndege Mwanza

Kufuatia video fupi kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii ikionyesha kutokea kwa ajali ya ndege iliyodaiwa kuzama katika Ziwa Victoria leo Februari 23, 2023 Mkrugenzi wa Mamalaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) Mussa Mbura amekanusha taarifa hizo na kusema kuwa…