JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

NHC yalipa kodi bil.22.0/-, gawio kwa serikali la mil.750/-

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limesema limelipa kodi mbalimbali inayofikia takriban shilingi bilioni 22.0 kwa mwaka 2021/2022 pia limelipa gawio Serikali la sh.milioni 750 kwa mwaka 2021/2022. Shirika limekuwa likichangia kila mwaka gawio la Serikali na…

Mhoja ataka vyama vya ushirika kusimamiwa kikamilifu

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea MRAJIS msaidizi wa vyama vya ushirika Mkoa wa Ruvuma,Peja Mhoja amewataka mameneja wa vyama vya msingi na vyama vikuu vya ushirika, kutumia mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU )mfumo ambao utakwenda kurahisisha zoezi la upatikanaji…

Jaji Mkuu:Usuluhishi unachochea uchumi, amani

Na Mary Gwera,Mahakama-Dodoma Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma ametoa rai kwa umma kujielekeza zaidi kwenye utatuzi wa migogoro mbalimbali kwa njia ya Usuluhishi ili kukuza uchumi, kuokoa muda na hatimaye kupunguza mlundikano wa mashauri mahakamani. Akizungumza wakati wa…