JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

DC Haniu aiagiza TUWASA kufanyakazi kwa bidii

Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu, amefanya ziara katika chanzo cha maji Mbaka-Ikama kilichopo kata ya Itagata Barabara ya Katumba -Mwakaleli. Akiwa katika chanzo hicho Haniu ameuagiza uongozi wa Mamlaka ya Maji Tukuyu Mjini (TUWASA) kuharakisha upanuzi wa chanzo…

Rais Samia afanya uteuzi mwingine

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- (1) Amemteua Bi Janet Zebedayo Mbene kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA). (2) Amemteua Bw. James Andilile Mwainyekule kuwa…

KMC FC kuwafuata Ruvu Shooting na wachezaji 22

Kikosi cha wachezaji 22,viongozi pamoja na benchi la ufundi kitaondoka jijini Dar es Salaam leo kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC soka Tanzania Bara dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa siku ya Jumapili Februali tano…

Serikali yalipa mil.40/- za kifuta jasho Kondoa Mjini

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imelipa kiasi cha shilingi milioni 40 ikiwa ni kifuta jasho/machozi kwa wananchi 198 wa Vijiji vya Chemchem, Tungufu, Tampori, Mulua na Iyoli wilayani Kondoa kutokana na kupata madhara yaliyosababishwa na wanyamapori. Hayo yamesemwa…

Majaliwa:Tanzania imepunguza maambukizi mapya ya VVU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kupunguza maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kwa asilimia 58 kutoka 130,000 mwaka 2003 hadi 54,000 mwaka 2021 kupitia Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na (PEPFAR). Amesema kuwa…