JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

TSB kuanzisha klabu shuleni za kutangaza zao la Mkonge

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga Katika kampeni yake ya kuhamasisha kilimo cha Mkonge nchini,Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), iko kwenye mchakato wa kuanzisha klabu za wanafunzi katika shule za sekondari kwa lengo kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia kilimo hicho. Mkurugenzi Mkuu wa TSB,Saddy…

Rais Samia ampa shavu Mwana FA, awa Naibu Waziri

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi kwa kuwateua Wawaziri na Naibu Waziri, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu kuwahamisha wizara baadhi ya Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu pamoja na kumteua…

Rais Samia atoa ‘mchongo’ wa ajira kwa vijana 50 sekta ya uvuvi

Na Mbaraka Kambona,JamhuriMedia,Pwani Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuboresha maisha ya Watanzania hususan vijana kwa kuwawekea mazingira wezeshi ya kujiajiri kupitia shughuli za uvuvi na ukuzaji viumbe maji ili kukuza kipato chao na…

NACTVET yatoa tuzo kwa wanaotoa nafasi kuendeleza ujuzi sehemu za kazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni na taasisi amabzo zimetoa mchango mkubwa kwenye uendelezaji ujuzi pahala pa kazi. Tuzo hizo zimetolewa mwishoni mwa wiki…

Simba yafufua matumaini

Bao pekee la beki Mkongo, Henock Inonga Baka ‘Varane’ dakika ya 20 limetosha kuipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Vipers katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa St. Mary’s mjini Kitende. Ushindi…