JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Rais Samia atoa suluhu mgogoro wa ardhi Kingale,Kondoa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan,ametoa Suluhu kwenye mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miongo mitatu dhidi ya eneo lenye ukubwa wa ekari 7,495.74 lililopo katika Vijiji vya Kata ya Kingale katika Halmashauri ya Wilaya…

Majaliwa : Tutaendelea kuwatumikia Watanzania

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wana-CCM na wananchi kwa ujumla waendelee kuiamini Serikali yao kwa sababu watendaji wake wamejipanga kuwatumikia kwa weledi, uadilifu na uaminifu wa hali ya juu….

Waliofariki katika tetemeko la ardhi Uturuki yafikia 300

Idadi ya waliokufa katika tetemeko kubwa la ardhi Kusini-Mashariki mwa Uturuki,karibu na mpaka wa Syria ni zaidi ya 300 huku wengine wakihofiwa kukwama katika vifusi. Utafiti wa Jiolojia wa Marekani ulisema tetemeko hilo la kipimo cha 7.8 lilitokea saa 04:17…

Serikali yatoa siku saba kwa maeneo yanayofanya uchafuzi wa mazingira unaotokana na kelele kujitafakari

Serikali imetoa siku saba kwa maeneo yote yanayofanya uchafuzi wa mazingira unaotokana na kelele na mitetemo kurekebisha changamoto hiyo na kulielekeza Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuyafungia maeneo yatakayokaidi maelekezo hayo. Pia imewataka wamiliki wa maeneo ya…

Dkt.Mpango aitwisha mzigo UWT Pwani

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdor Mpango ,amemuagiza Mwenyekiti wa UWT Mkoani Pwani Zainabu Vullu kuhakikisha anavunja makundi yanayoendelea ndani…