JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Wadakwa wakitengeneza pombe bandia Arusha

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema katika kuhakikisha linalinda raia na mali zao pia katika kuunga juhudi za serikali ya kuhakikisha raia wake wanakuwa salama kiafya tarehe 04.februari 2023 muda wa saa…

Polisi Shinyanga yawadaka waliopora kwenye mradi wa SGR

Polisi Mkoani Shinyanga imefanikiwa kuwakamata watuhumiwa tisa wanaohisiwa kuhusika na tukio la ujambazi katika kambi ya Wachina wanaojenga mradi wa ujenzi wa Reli ya Mwendokasi (SGR) na kupora vitu mbalimbali ikiwemo bunduki na fedha mbalimbali za kigeni. Kamanda wa Jeshi…

WWF yataka viumbe walio
hatarini kutoweka walindwe

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia,Mtwara Wananchi na asasi kutoka mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma wametakiwa kupaza sauti za kuwalinda viumbe hai walio hatarini kutoweka katika maeneo yao. Akizungumza katika mkutano wa wadau kutoka asasi mbalimbali na wananchi mkoani Mtwara ulioandaliwa na…

Viongozi vyama vya siasa watakiwa kushindana kwa hoja

Viongozi wa vyama vya siasa nchini wameaswa kushirikiana ili waweze kujenga mazingira mazuri ya kufanya siasa zenye tija na siasa za kushindana kwa hoja. Hayo yameelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Profesa Ibrahim Lipumba leo Februari…