JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Tunduru kuwatoza faini wafugaji wanaoishi kiholela

Serikali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma imesema,itawakamata na kuwatoza faini wafugaji wote wanaoishi kiholela na kuchunga mifugo nje ya maeneo yaliyotengwa(vitalu). Kauli hiyo imetolewa jana na mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro,wakati akizungumza na wafugaji wakati wa ufunguzi wa nyumba…

Serikali yadhamiria kutekeleza mradi wa Liganga,Mchuchuma kwa manufaa ya Taifa

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuwa Serikali imedhamiria kutekeleza Mradi wa Kimkakati wa Liganga na Mchuchuma kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla. Aidha, Dkt.Kijaji amewahakikishia wajumbe…

Sagini: Madereva acheni kuzimaliza roho za Watanzania

Na Hyasinta Kissima,JamhuriMedia Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, amewatala Makamanda wa mikoa kuwafutia na kuwanyang’anya leseni madereva hatarishi ambao wamekuwa hawafuatia na kuzingatia sheria za usalama barabarani na kusababisha vifo na ulemavu licha ya elimu ya…

Rais Samia awalilia waliokufa ajalini Dodoma, atoa maagizo kwa vyombo vya dola

………………………………………………………….. Watu 12 wamefariki dunia na wengine 63 wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Alhamisi Februari 9, 2023 wilayani Kongwa mkoani Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema kuwa ajali hiyo imehusisha magari mawili…

EWURA yatoa msaada wa vifaa tiba ya mil.5.2/- Nyamagana

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 5.2 kwa hospitali ya Wilaya ya Nyamagana ili kuboresha huduma za afya za akina mama wanaojifungua katika hospitali hiyo. Msaada…

Dkt.Samia anunua magari 727 ya kubebea wagonjwa

Na WAF- Dodoma NAIBU Waziri wa afya Dkt.Godwin Mollel amebainisha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha za kununua magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) 727 zitazosaidia kurahisisha huduma za rufaa nchini. Dkt.Mollel amesema…