JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Serikali yatangaza kupeleka aina 10 za bidhaa soko huru Afrika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imetangaza kuwa kuanzia Julai Mosi mwaka huu itaanza kupeleka aina 10 za bidhaa katika Soko la Huru la Biashara Afrika ambalo Tanzania ni mwanachama. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda…

Bodi ya DAWASA yapongeza maendeleo ya mradi wa JNPPP

………………………………………………………………………………………………….. Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA), imepongeza maendeleo ya utekelezaji ujenzi mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa maji wa bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha jumla ya megawati 2,115…

Waziri Kikwete awaonya Manyara kujiepusha na migogoro ya ardhi

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amemuelekeza Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Manyara kuweka mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi na kuwapatia hati wakazi wa eneo la ekari 2,390 zilizotolewa na Rais…

MV. Mwanza ‘Hapa Kazi Tu’ yashushwa majini

Zoezi la kushusha meli moja ya MV. Mwanza ‘Hapa Kazi Tu’ limefanyikwa vyema kwa asilimia 100 na ujenzi wake umefikia asilimia 82. Akizungumza Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi-Uchukuzi Atupele Mwakibete kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Profesa Makame…