JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Jeshi la Polisi laja na mbinu mpya ya kuzuia uhalifu

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Nchini kupitia Kamisheni ya Polisi Jamii limekuja na mbinu ya kuzuia matukio ya uhalifu hususani ya mauaji pamoja na ya ukatili. Kamishna wa Polisi Jamii Nchini CP.Faustine Shilogile wakati akizungumza na…

Bil.7.5 kukarabati kivuko MV Magogoni

Na Alfred Mgweno -TEMESA Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imesaini mkataba wa ukarabati wa kivuko cha MV. Magogoni wenye thamani ya shilingi bilioni 7.5. Mkataba huo umesainiwa leo katika eneo la kivuko cha Magogoni Kigamboni jijini…

Nape:Serikali itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Serikali imesema itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza na haitoingilia kwenye uhuru wa vyombo vya habari. Pia inataka kuwa mlezi wa uhuru wa kujieleza na haitaki kuingilia biashara ya vyombo vya habari. “Inachotaka ni kuwa mlezi wa…

Tanzania,Angola zasaini hati za makubaliano

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Angola zimesaini Hati mbili za Makubaliano (MoUs) za kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja (JPC) na Hati ya Ushirikiano kati ya Chuo Cha Diplomasia cha Tanzania (CFR) na…