JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Serikali kufanya maboresho uwanja wa Mkapa

Serikali imeahidi kufanya marekebisho makubwa yanayohitajika katika uwanja wa Benjamin Mkapa ili kukidhi viwango vya kimataifa vinavyohitajika katika michuano ya Africa Super League ambayo Klabu ya Simba ndio mwakalishi wa ukanda wa Afrika Mashariki. Hayo yamesemwa Februari 16, 2023 jijini…

DC Shaka akemea rushwa kwa watendaji

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro Shaka Hamdu Shaka amekemea baadhi ya watumishi ambao wamekua sio waadilifu Kwa kuendekeza rushwa Jambo ambalo linachangia Kuongezeka kwa migogoro ya ardhi wilayani humo. DC Shaka ameyasema hayo katika Baraza la Madiwani wilayani…

PROF.Mkenda atoa wito kwa Watanzania kuandika vitabu

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda ametoa wito kwa watanzania kupenda kuandika kwa kuwa kinachoandikwa kinatoa funzo kwa vijana na jamii kwa ujumla. Ametoa wito huo Jijini Dar es Salaam wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa Kitabu On my father’s…

Ridhiwani agawa pikipiki kwa watendaji wa kata Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Chalinze Naibu Waziri wa Ardhi ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete amegawa pikipiki kwa watendaji wa kata 6 za Halmashauri ya Chalinze, pamoja na kutembelea kiwanda cha Uzalishaji wa marumaru cha Keda. Pia, amepokea…

Serikali yataka aliyemlawiti mwanaye Arusha achukuliwe hatua kali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo wahakikishe wanamfikisha katika vyombo vya sheria baba mzazi wa mwanafunzi wa darasa la pili (7) katika Kata ya Sokoni One mtaa…