JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

EWURA yaibuka kidedea uhusiano mzuri vyombo vya habari, Kaguo mtendaji bora

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imeibuka mshindi wa kwanza kwa Taasisi zenye uhusiano mzuri na vyombo vya habari, TRA imeshika number mbili na CRDB imekuwa ya tatu, Tuzo hiyo imetolewa na Chama cha Maafisa Uhusiano…

TAKUKURU Katavi wabaini miradi ya bil.1.7/- kuwa na kasoro

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi imebaini kuwepo kwenye miradi iliyotekelezwa katika Halmashauri mbalimbali za mkoa huu ikiwa na upungufu wa zaidi ya Shilingi Bilioni 2.1 na wameweza kuchukua hatua mbambali kwenye miradi hiyo. Hato…

Popo wa Nigeria kivutio kingine Makumbusho ya Majimaji

Makumbusho ya Taifa ya Majimaji ni eneo ambalo limehifadhiwa vizuri na serikali ili kuwawezesha watu kujifunza kumbukumbu nyingi ambazo ni kivutio adimu cha utalii wa kishujaa na kiutamaduni. Watu kutoka mkoa wa Ruvuma na nje ya nchi wanatembelea eneo hili…

Dkt.Jingu:Wakulima tuongeze msukumo wa kufanya kilimo chenye tija

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ametoa rai kwa wakulima kuongeza msukumo katika kilimo chenye tija kwa kutumia mbinu za kisasa za kilimo ambazo zinahusisha teknolojia ili…

Jaji Mkuu aainisha mambo sita muhimu yanayohitaji kuzingatiwa

Na Faustine Kapama-Mahakama Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amezindua Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama na kusisitiza mambo sita kwa wajumbe, ikiwemo kuzingatia maadili na kutunza ziri za ofisi, ambayo yanahitaji kuzingatiwa wanapotekeleza majukumu yao…

MOI yasogeza huduma za kibingwa Bagamoyo

Na Mwanadishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili MOI kwa kushirikiana na Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo zimeendesha kliniki maalum (MOI Mobile clinic kwa wa kazi wa Bagamoyo ambapo zaidi ya wagonjwa 150 wamehudumiwa. Kliniki hiyo imehusisha huduma za…