JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Wanafunzi 24,000 Rukwa hawajui kusoma wala kuandika

Na Israel Mwaisaka,JamhuriMedia,Nkasi Imeelezwa kuwa Mkoa wa Rukwa una wanafunzi wa shule za msingi wapatao 24,000 ambao hawajui kusoma,kuandika na kuhesabu. Hayo yamebainishwa na Ofisa elimu wa mkoa huo, Samson Hango wilayani Nkasi wakati Katibu Tawala wa mkoa, Rashid Mchata…

Zaidi ya Watanzania 142 wanufaika na ajira

Zaidi ya Watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania,ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma za michezo ya kubashiri mtandaoni. Akizungumza katika uzinduzi wa duka la Meridianbet lililopo Mtaa wa Tandika Majaribio, Temeke, Dar es Salaam,…

Kajula ndiye Mtendaji Mkuu mpya Simba SC

Klabu ya Simba imemtambulisha Imani Kajula kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO), wa klabu hiyo kwa mkataba wa miezi sita, akichukua nafasi ya Barbara Gonzalez aliyejiondoa. Meneja wa Habari wa Simba,Ahmed Ally,amesema kuwa mkataba huo unaweza kurefushwa endapo bodi itaridhishwa na…

Jumaa:Twendeni kwenye majukwaa tukaeleze yanayofanywa na Serikali

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi Taifa (MNEC)-Wazazi ,Hamoud Jumaa amewaasa wanaCCM kujipanga kwenda majukwaani kusema makubwa yanayofanywa na Serikali ya awamu ya sita sanjali na utekelezaji wa ilani. Ameeleza ,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fursa…

Polisi wazungumzia taarifa za ugaidi kwenye mitandao

Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa hali ya ulinzi na usalama wa nchi ni shwari kwani matukio makubwa yanayoweza kuleta hofu kwa wananchi yanaendelea kudhibitiwa, Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa kwa vyombo vya habari leo Januari 26, 2023 na msemaji…