JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Tanzania,India kufungua fursa mpya za biashara

Tanzania na India zimeonesha dhamira ya kufanya kazi kwa karibu katika kutafuta njia bora za kufungua fursa mpya za biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande zote mbili. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi…

Maganya aiasa Jumuiya ya Wazazi kuibua miradi mipya

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa,Fadhil Maganya ametoa rai kwa wanachama na viongozi wa Jumuiya hiyo kuhamasika kuanza kujenga ofisi za kisasa kwa ngazi zote ili kuimarisha Jumuiya. Aidha amewaasa kuhakikisha wanabuni vyanzo vya kiuchumi, miradi ya…

Ummy:Ondoeni hofu huduma zinazotolewa Mlongonzila ni bora sana

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amepongeza Menejimenti na watumishi wote katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa kuboresha ubora wa huduma za matibabu kwa wateja katika Hospitali hiyo. Waziri Ummy amesema hayo leo mara baada ya kufanya ziara katika Hospitali…

RC Dodoma ashauri kufuatilia nyenendo za wafungwa wanapomaliza vifungo

Na Mary Gwera,Mahakama,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Rosemary Senyamule ametoa ushauri kwa Jeshi la Magereza nchini kuona namna bora ya kufuatilia nyenendo za wafungwa pindi wamalizapo muda wa vifungo vyao kwa kushirikiana na Halmashauri kupitia Maafisa Ustawi wa Jamii ili…

Zima Moto Ilala yajipanga kukabiliana na majanga ya moto

Na Mussa Augustine Jeshi la zimamoto na Uokoaji Mkoa wa zima Moto Ilala limeishauri Halmashauri ya Jiji la Ilala kuhakikisha inatenga Miundombinu ya barabara ili kuweza kurahisisha kufika kwenye eneo ambapo ajali ya Moto ilipotokea na kuweza kuudhiti. Pia limesema…

NHC yatoa saruji mifuko 75 kusaidia ujenzi wa hosteli Singida

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limetoa mifuko 75 ya saruji yenye thamani ya Sh. Milioni 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana katika Sekondari ya Kintinku iliyopo wilayani Manyoni mkoani Singida. Akizungumza wakati akikabidhi saruji hiyo kwa…