JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

‘Wataalamu watakiwa kuitumia nchi kwa uwelezi na uzalendo’

Na Mwandishi Wetu,WHMTH,Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt.Jim Yonazi ametoa rai kwa wataalamu 79 waliohitimu mafunzo ya uendeshaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano yaliyotolewa na Kampuni ya HUAWEI Tanzania kuhakikisha wanalitumikia Taifa kwa…

Nyerere:Kila mwananchi anatakiwa kupanda mti na kuutunza

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amewataka wakuu wa wilaya, wakurugenzi pamoja na wakuu wa idara za mazingira kila mmoja kuhakikisha miti inapandwa kama muongozo unavyoelekeza. Hayo ameyasema wakati wa uzinduzi wa zoezi la upandaji miti mkoani hapa na…

‘Mwaka 2030 utakuwa ukomo magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele’

Na WAF – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya inaendeleza juhudi za ugawaji wa dawa na matibabu kwa wagonjwa wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele ili ifikapo 2030 magonjwa hayo yaweze kutokomezwa. Hayo yamesemwa leo na Meneja Mpango Wa Magonjwa yaliyokuwa…

REA na wadau kuunganisha nguvu usimamizi miradi ya umeme vijijini

Na Veronica Simba,Lindi Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Wadau wake mbalimbali mkoani Lindi, wamekubaliana kuunganisha nguvu katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na viwango vinavyotakiwa. Azimio hilo limefikiwa jana katika kikao kazi…

TANESCO Dodoma yaweka wazi mafanikio yake

Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),Mkoa wa Dodoma Mhandisi Donasiano Shamba ameelezea mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kupitia Shirika la Umeme mkoa wa Dodoma haswa upande wa Utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini REA awamu ya tatu…

Operesheni yawakamata wazazi 763 Tunduru, 600 wajisalimisha Polisi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tunduru Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imeendesha operesheni maalumu ya nyumba kwa nyumba ya kuwasaka wazazi wasiopeleka watoto shule licha ya kuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu. Akizungumzia operesheni hiyo mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro, amesema…