JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

BREAKING NEWS: NECTA yawafutia matokeo wanafunzi wanne waliojibu matusi

Baraza la Mitihani (NECTA), limefuta matokeo yote ya watahiniwa wanne wa kidato cha nne mwaka 2022 walioandika lugha za matusi kwenye mitihani yao. Hayo yamesemwa leo Januari 29,2023 na Kaimu Katibu Mtendaji wa Necta, Athumani Amasi wakati akitangaza matokeo ya…

Mpango afanya mazungumzo na waandishi wa kitabu cha uongozi wa Rais Samia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi wa vyuo hapa nchini kuchukulia kwa umuhimu jukumu la kuandika na kuielezea vema Tanzania katika vitabu kwa maslahi ya taifa. Makamu wa Rais…

Majaliwa asisitiza wabunge kushiriki michezo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumamosi, Januari 28, 2023 ameshiriki Bunge Bonanza lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi na sekondari ya John Merlin ya jijini Dodoma ambapo ametumia fursa hiyo kuwasisitiza wabunge na wananchi wengine washiriki katika michezo ili…

Uwanja mpya wa Geita Gold FC mbioni kukamilika

UWANJA wa Magogo unaojengwa na Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine Limited , unatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka huu. Hayo yamebainishwa hivi karibuni mjini Geita na Makamu wa Rais wa AngloGold Ashanti anayeshughulikia…

Chongolo aanza ziara Morogoro,agusia migogoro ya wakulima na wafugaji

…………………………………………………………. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo ameanza ziara ya kikazi leo Januari 28 mkoani Morogoro huku akitumia nafasi hiyo kueleza sababu za kufanya ziara hiyo ndani ya mkoa huo. Aidha amesema pamoja na mambo mengine anatambua mkoa…