JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Ridhiwani apendekeza TRC kuweka kituo Magindu ili Wanachalinze wanufaike na SGR

Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete ametoa mapendekezo kwa Shirika la Reli Tanzania kuona namna ya kuweka kituo eneo la Magindu katika Reli ya…

Philibert Paschal Foundation Kutoa Elimu Kwa Madereva Bodaboda.

Na Mussa Augustine. Taasisi ya Philibert Paschal Foundation imekua ikitoa Elimu ya Usalama Barabarani kwa Madereva wa pikipiki za kusafirisha abiria(Bodaboda) ikiwa ni jitihada za kuisaidia serikali kupunguza vifo vitokanavyo na ajali za bodaboda zinazotokea mara kwa mara. Akizungumza Dar…

Rais Samia afanya uteuzi, Kafulila apewa Ukamishna (PPP)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi leo Januari 5, 2023 kama ituatavyo Amemteua Dkt. Ellen Mkondya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili. Dkt. Mkondya ni Mkurugenzi Mtendaji wa…

Diwani Athumani Msuya atenguliwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya, aliyemteua tarehe 03 Januari, 2023 kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Bw….

Bunge la Januari kuleta mwanga wa matumaini kwa wadau wahabari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wadau wa sekta ya habari nchini wanamatarajio makubwa ya mswada wa mabadiliko ya sheria ya habari kusomwa katika Bunge linalotarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na waandishi wa habari jana,Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),…

Msonde:Ukishindwa kusimamia kusoma, kuandika na kuhesabu jitathmini

Na Asila Twaha,JamhuriMedia,TAMISEMI Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka viongozi wanaosimamia elimu katika Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa kujitathmini katika ufuatiliaji wa mwenendo wa elimu…