JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Bashe:Ifikapo 2025 Serikali haitaagiza sukari nje ya nchi

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ifikapo 2025 Serikali haitaagiza sukari nje ya nchi kwani kutakuwa na uzalishaji wa kutosha ndani ya nchi. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dodoma leo Januari 10, 2023, Waziri Bashe amesema lengo la…

Uingereza yaipatia Tanzania vifaa vya kujikinga na magonjwa ya mlipuko kwa wahudumu wa afya

Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa vifaa vya kujikinga na magonjwa ya mlipuko kwa ajili ya watumishi wanaotoa huduma za afya na wateja wanaowahudumia,kutoka serikali ya Uingereza. Makabidhiano ya vifaa hivyo yamefanyika Bohari ya Dawa (MSD) Keko Dar es Salaam,ambapo…

Polisi Arusha waonywa kutoshabikia vyama vya siasa

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha watakiwa kutojihusisha na ushabiki wa vyama vya siasa. Hayo yamesemwa leo Januri 9, 2023 na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia wizi wa mifugo nchini…

Elimu njia sahihi ya kupunguza tatizo la sumukuvu nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Imeelezwa kuwa tatizo la Sumukuvu nchini Tanzania linachangiwa na ukosefu wa elimu kuanzia uzalishaji wa chakula na kusababisha madhara ya ugonjwa wa saratani na ini. Hayo yamebainishwa leo Januari 9,2023 mkoani Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya…