JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Hospitali ya Wilaya ya Itilima yaanza kutoa huduma za uapasuji

Hospitali ya Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu imeanza kutoa huduma za upasuaji kwa wakinamama wanaopata uchungu pingamizi. Mganga mkuu wa Wilaya Dk. Anold Musiba amesema huduma hiyo imeanza kutolewa kwa akina mama wajawazito wanaopata changamoto ya kushindwa kujifungua kwa njia…

Makaa ya mawe yazidi kuing’arisha sekta ya madini

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa uchimbaji wa makaa ya mawe hususan katika mkoa wa Ruvuma umeendelea kuipaisha Sekta ya Madini kutokana na wawekezaji wengi kuendelea kujitokeza yakiwa ni matokeo ya mazingira mazuri ya uwekezaji…

Kwa Simba hii maji mtayaita mma

Na Mwandishi wetu. Wakala wa Djuma Shaaban na Yanick Bangala ameshusha chuma kingine Tanzania. Straika mcongo, Jean Baleke Othos (21), yupo chini ya menejimenti ya  faustyworld ambaye ni wakala wa Djuma Shaaban, Yanick Bangala wa Yanga na Ben Malango.  Ujio…

Rais awapongeza vijana wa kitanzania kwa kupata medali ya fedha

Rais Dkt. Samia Suluhu Hssan amewapongeza vijana wa Kitanzania walioibuka washindi wa pili na kupata medali ya fedha katika mashindano ya kwanza ya Global Robotics Challenge yaliyofanyika Geneva Uswisi na kushirikisha mataifa zaidi ya 190.  Amefarijika kusikia kuwa roboti iliyoundwa…

Mkenda:Msiwafiche ndani watoto wenye mahitaji maalumu

Wito umetolewa kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum kutowaficha watoto ndani badala yake wawapeleke shule kwa kuwa zipo shule maalum kwa ajili ya watoto hao. Hayo yamesemwa na Prof. Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia alipokuwa akizindua majengo…

Lyoto Development Foundation kuwanufaisha kiuchumi Kata ya Mzimuni

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Diwani wa Kata ya Mzimuni Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Manfred Lyoto ameanzisha Taasisi ijulikanayo kama Lyoto Development Foundation ili kuhakikisha inatoa mikopo isiyokuwa na riba kwa wananchi wa kata hiyo ili wafanye shughuli za kujikwamua kiuchumi….