JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Rais Samia akizungumza na wawekezaji, wadau wa maendeleo na baadhi ya viongozi wakuu wa Nchi za Afrika nchini Uswizi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wawekezaji, wadau wa maendeleo pamoja na baadhi ya Viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika katika Mkutano wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA)uliofanyika Davos nchini Uswizi…

Binadamu mkongwe zaidi afariki dunia

Binadamu mzee zaidi aliyekuwa anashikilia rekodi ya Guinness amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 118. Sista André aliyezaliwa Februari 11, 1904 na kupewa jina la Lucile Randon  amekutwa amefariki katika makazi yake yaliyoko  mjini Taulon Ufaransa, Reuters imeripoti Msemaji…

Mawaziri wauawa katika ajali ya helikopta Ukraine

Watu 18 wameuawa akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ukraine katika ajali ya helikopta iliyotokea nje ya Mji Mkuu wa Kyiv leo. Taarifa ya Mkuu wa Polisi Ukraine, Ihor Klymenko imesema kati ya watu hao waliopoteza maisha wawili ni…

Tisa mbaroni kwa tuhuma za kuiba vifaa vya SGR

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashilikia watu 9 kwa tuhuma za makosa mbalimbali ikiwa ni pamoja na vifaa vya ujenzi katika mradi wa kisasa wa SGR pamoja na ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi maarufu kama daraja la JPM….

Mbarali wampongeza Rais Samia kumaliza mgogoro wa ardhi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wananchi wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 15 na hivyo kuwawezesha kuendelea kufanya shughuli zao…

Spika:Tuko tayari kubadili sheria zenye changamoto za kijinsia

Na Magreth Kinabo –Mahakama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kwamba Bunge liko tayari kubadili sheria zinazoleta changamoto katika mashauri yanayohusu ukatili wa kijinsia hususan kwa wanawake ,watoto na watu wenyeulemavu. Akizungumza…