JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Serikali kufuatilia utekelezaji wa gawio SMZ

Ofisi ya Makamu wa Rais imepanga kufanya ufuatiliaji wa gawio kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) pamoja utekelezaji wa Taasisi za Muungano katika kipindi cha Januari 2023 hadi Juni 2023. Pia amesema Ofisi imepanga kutoa semina kuhusu usimamizi wa fedha…

Dkt.Kikwete:Huduma ya afya ya uzazi ipo ndani ya moyo wangu

Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto ni suala ambalo lipo ndani ya moyo wake na ataendelea kutoa mchango kwa Serikali na wananchi kwa ujumla. Dkt. Kikwete ameyasema…

Serikali yatoa ufafanuzi kifo cha Mtanzania Urusi

Serikali imewataka Watanzania kuzingatia na kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi walizopo ili kulinda taswira nzuri ya nchi yao. Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt. Stergomena Tax (Mb) Jijini Dar es…

Makatibu wakuu wastaafu wapongeza kasi ya mradi wa umeme JNHPP

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Rufiji Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu wastaafu waliowahi kuhudumu katika Wizara ya Nishati kwa nyakati tofauti wakiongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,Mhandisi Zena Ahmed Said…

Bima ya afya kwa wote kuanza kutumika Julai mwaka huu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imepanga kuboresha huduma za afya ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa bima ya afya kwa wote inawafikia Watanzania wote. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu wakati akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari mbalimbali…