JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Kilo 399 za dawa za kulevya zakamatwa

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata jumla ya kilo 399.28 za dawa za kulevya aina ya bangi katika Kitongoji cha Sokoni, Kiji cha Chogoali, Kata ya lyogwe, tarafa ya Gairo, wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro. Kwa…

Umoja wa Ulaya waridhishwa na mradi wa maji Mwanza

………………………………………………………………………………………………………. Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wameridhishwa na ubora na kasi ya ujenzi wa mradi wa shilingi bilioni 69 wa Dakio jipya la Maji katika eneo la Butimba Jijini Mwanza. Mabalozi wa Umoja huo wamepongeza jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Serikali…

Serikali kurejesha upya gharama za upandikizaji mimba

Na WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na Bima ya Afya…

Wizara ya Afya yawachukulia hatua watumishi

Serikali imewachukulia hatua watumishi wa wawili wa afya ambao video yao ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha watumishi hao wakijibizana kuhusu matumizi ya vifaa (vitendanishi) vya kupimia malaria vilivyoisha muda wake wa matumizi. Watumishi hao Rose Shirima ambaye ni mkunga…

Kairuki awajia juu walimu wanaotoa adhabu ya viboko kwa wanafunzi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki,amewaonya walimu wanaokiuka Kanuni za Elimu za mwaka 2002 na kutoa adhabu kali kwa wanafunzi Serikali haitosita kuchukua hatua kali dhidi yao. Waziri…